Zogolo makunganya no. 3

______________________________________
3.A Katika watoto wa zogolo Makunganya; tumemtaja mtoto wake mmoja aitwaye Sefu Zogolo; Sefu huyo - amezaa watoto hawa:-
Mintanga Sefu Zogolo; 
Sefu Cmbuso Zogolo akiwa mitaani jijini Dar es Salaam 1984.
______________________________________
3.A Katika watoto wa zogolo Makunganya; tumemtaja mtoto wake mmoja aitwaye Sefu Zogolo; Sefu huyo - amezaa watoto hawa:-
Selemani Sefu Zogolo;
Athumani Sefu Zogolo;
Ally Sefu Zogolo;
Hadija Sefu Zogolo;
Chambuso Sefu Zogolo,
kwa mujibu wa kizazi hiki watoto hawa wamekuwa ni wajukuu wa Zogolo Makunganya Zongobilo.
Maisha yao yalikuwa ni sehemu za kijiji cha Mbwawa Kibaha mpaka Bagamoyo; Yombo; Mlandizi; Disunyala; Chekeleni; Lupunga; Mzenga; Mwanalumango; Kisalawe; kuzunguka Mkoa wa pwani na Dar es Salaam; Mkoa wa Mologolo Kisaki;Ifakala; Msowelo.
Mwenyezimungu awape Kheri nasaba hii Duniani na Akhera
Aaaamin.
Hii ni nakala ya 1960.
Tafuta
Zogolo Makunganya No.4 Sefu Zogolo.
inalindwa na kuhifadhiwa na ukoo wa Zogolo.
________________________________________