Jumatano, 25 Machi 2015

ZOGOLO MAKUNGANYA NO.4 SEFU ZOGOLO

KIFUATACHO NI KIZAZI CHA WA TOTO    WA SEFU ZOGOLO:-


_______________________________________
_______________________________________
4.A Katika watoto wa Sefu Zogolo tumemtaja mtoto aitwaye Selemani Sefu; huyu amezaa watoto wafuatao:- 
               Salehe Selemani Sefu Zogolo;
               Binti Selemani aliyekuwa akijulikana                     kwa jina la Biti Ally Sefu Zogolo
               Ramadhani Selemani Sefu Zogolo
               Mwatabu Selemani  {FatumaSefu                         Zogolo
               Subira Selemani Sefu Zogolo
               Hapia Selemani Sefu Zogolo
               Mwanahamisi Selemani{Maua}Sefu                       Zogolo ;
kwa mujibu wa kizazi hiki watoto hawa wamekuwa ni wajukuu wa Sefu Zogolo.

4.B Katika watoto hao wa Sefu Zogolo pia tumemtaja mtoto aitwaye Athumani Sefu Zogolo; huyu naye amezaa watoto hawa:- 
              Mwanahawa Athumani Sefu Zogolo
              Ramadhani Athumani Sefu Zogolo
              Hosseni Athumani Sefu Zogolo
kwa mujibu wa kizazi hiki watoto hawa wamekuwa ni wajukuu wa Sefu Zogolo. 

4.C Katika watoto hao wa Sefu Zogolo pia tulimtaja mtoto aitwaye Ally Sefu Zogolo; huyu naye amezaa watoto hawa:- 
             Rajabu Ally Sefu Zogolo
             Juma Ally Sefu Zogolo.                        kwa mujibu wa kizazi hiki watoto hawa wamekuwa ni wajukuu wa Sefu Zogolo.

4.D Katika watoto hao wa Sefu Zogolo vileville tumemtaja mtoto aitwaye Hadija Sefu Zogolo; huyu naye amezaa watoto hawa:- 
              Mohammedi Selemani{Zira}; 
              Zena Bakari-aliyejulikana kwa jina                          la Kiombo;      
              Fatuma Juma.  
kwa mujibu wa kizazi hiki watoto hawa wamekuwa ni wajukuu wa Sefu Zogolo.

4.E Vilevile katika watoto hao wa Sefu Zogolo tulimtaja mtoto aitwaye Chambuso Sefu Zogolo; huyu naye amezaa watoto hawa:-  
            Sefu Chambuso Sefu Zogolo
            Hamisi Chambuso Sefu Zogolo;
            Maangaza Chambuso Sefu Zogolo;
            Zuhura Chambuso Sefu Zogolo
            Abdulrahmaani Chambuso Sefu Zogolo
            Mwinyimkuu Chambuso Sefu Zogolo
            Mahija Chambuso Sefu Zogolo
            Yahaya Chambuso Sefu Zogolo
            Riziki Chambuso Sefu Zogolo
            Fatuma Chambuso Sefu Zogolo- anayejulikana kwa jina la Fatuma Matambo. 


kwa mujibu wa kizazi hiki watoto hawa wamekuwa ni wajukuu wa Sefu Zogolo.ambapo familia hii ya Chambuso ilizaliwa Bagamoyo katika Hospitali ya Hajji Sewa ambayo hivi sasa ni Hospitali ya wilaya ya Bagamoyo Tarafa ya Mwambao.  

  Mwenyezimungu awape Kheri Duniani na Akhera  Aaaamin. 
                               Tafuta 
Zogolo Makunganya No.5 Sefu Zogolo.  
                    Imenakiliwa 1997.
Inalindwa na kuhifadhiwa wazee wa ukoo wa Zogolo.
_____________________________________

KARIBU PWANI YETU

ZOGOLO MAKUNGANYA NO.8 ZOGOLO, MATAMBO, MBONDO NI NDUGU MOJA KOO MBALIMBALI.

  ZOGOLO, MATAMBO, MBONDO NI NDUGU MOJA KOO MBALIMBALI. Mlaluhombo alikuwa na mdogo wake waliozaliwa kwa mama mkubwa na mdogo, huyu mdogo al...